WAKATI TUKIELEKEA KATIKA SIKUKUU YA PASAKA NA KUHAKIKISHA KWAMBA WATU WOTE WANANYUKA PAMBA KALI (MAVAZI),DUKA LAKO PENDWA LENYE VIWALO VIKALI NDANI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LIFAHAMIKALO KAMA J&M VIRGO,LIMESHUSHA MALI MPYA NA ZA UHAKIKA KABISA.

HIVYO FIKA DUKANI KWAO PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA,JENGO LA C&G PLAZA GHOROFA YA KWANZA ILI UWEZE KUJIPATIA PAMBA KALI ZA KINA BABA NA KINA MAMA,POCHI BABKUBWA,MOKA ZA KISASA KWA KINA BABA NA MICHUCHUMIO MIKALI KWA KINA DADA.

KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA LIBENEKE LAO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. urefu wa viatu vya sikuhizi unaweza kutegua watu miguu.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hahahahaha! Yaani Acha tu mdau, mi mwenyewe nawashangaa, halafu unakuta mtu tayari mrefu na katilia inchi 6! Yaani ni jini kashikashi kabisa!

      Delete
  2. sio kutegua miguu vina haribu kizazi,muige kwa mpango sio kila kitu.

    ReplyDelete
  3. wala c uongo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...