Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Egbert Mkoko (katikati) akipongezwa na walimu wake, Profesa Larry sterilz (kushoto) na Profesa Lynnete sterilz, baada ya kutunukiwa shahada ya pili ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha Rhodes, Afrika Kusini juzi. (Picha kwa hisani ya TASWA).
Home
Unlabelled
Makamu Mwenyekiti TASWA alamba nondozz yake ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha Rhodes, Afrika Kusini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...