Mheshimiwa Zakia Hamdani Meghji ambaye uchangiaji wake uliwavutia wengi baada ya kuweka wazi kuwa anaunga mkono Serikali mbili na kuwa hayuko tayari kuona muungano unakufa wakati akichangia kifungu namba moja na  namba sita.Kulia kwake ni Mhe.Hilda Ngoye.Wote wawili wamewahi kuwa wakuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kwa Nyakati tofauti
 Mhe.Frederick Migala kutoka kundi la walemavu akichangia.
Mhe.Kingunge Ngombale Mwiruakimpongeza Mhe.Frederick Migala kutoka kundi la walemavu akichangia baada ya kuvutiwa na hoja za mchango wake kifungu namba moja na nambasita cha katibampya. Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii, Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...