Zaidi ya watu 20 wamefariki dunia papo hapo na wengine wengi kujeruhiwa, baada ya basi la LUWULE walilokuwa wakisafiria kutoka Musoma kwenda Mwanza kuacha njia, kugonga nyumba na kupinduka katika kijiji cha Itwimila wilaya ya Busega.
Home
Unlabelled
NEW ALERT: AJALI MWANZA WATU ZAIDI YA 20 WAFARIKI PAPO HAPO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
11 tu ndo maiti
ReplyDeleteduu! papo hapo.Magari yanauwa zaidi hata kipindu pindu. Nini kinga na nini dawa ?
ReplyDeleteMadereva mjue mnaendesha watu siyo mizigo, na barabara mnazotumia wakati wote siyo nzuri sana, zikiwa pia na malori yanayosimama ovyo.
ReplyDelete