![]() |
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimkabidhi msaada wa bati zilizotolewa na shirika la nyumba la taifa NHC mkoa wa Kilimanjaro, mkuu wa wilaya ya Hai,Noavatus Makunga . |
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimkabidhi msaada wa bati zilizotolewa na shirika la nyumba la taifa NHC mkoa wa Kilimanjaro, mkuu wa wilaya ya Mwanga,Shahib Ndemanga. |
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama
akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa NHC mkoa wa Kilimanjaro
pamoja na wakuu wa wilaya waliopatiwa msaada wa bati.Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini. PICHA ZAIDI BOFYA HAPA |
Now this is what us medics call morbid obesity.
ReplyDeleteThere is an increase in Obesity in emerging markets of Africa among the middle class.
Jiangalieni ndugu zangu, we have enough tropical disease already, we don`t need all these non communicable diseases on top, obesity is a harbinger of a lot of them.