Mtendaji Mkuu wa Photo Solutions Deusdedit Vallery Moshi (kushoto) na mkewe Silvia akifurahia jambo na familia yake,kutoka kulia Aika Deusdedit,Amani-Khan Deusdedit na Amini-Mchamungu Deusdedit wakati wakisheherekea Sikukuu ya Pasaka na kikundi cha Ujirani Mwema Ndachi Dodoma
Wana Familia wa Kikundi cha ujirani mwema Ndachi, Dodoma wakisheherekea Sikukuu ya pasaka Pamoja kuadhimisha zaidi ya miaka elfu mbili ya ufufuko wa Yesu Kristo.Kikundi hiki kinashirikiana katika shuhuli za kijamii.
Katibu wa kikundi Mwalimu Richard Msaky katikati akizungumza na wanakikundi pamoja na kutoa salamu za Pasaka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. uncle huyo binti kwenye picture ya awali aliyevalia koti la suti rangi nyeusi ...naomba umfikishie salamu zangu za pongezi

    Taf'adhar

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...