Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Naibu Kamishna wa Polisi Mohamed Mpinga akizungumza wakati wa semina ya mafunzo ya usalama mahala pa kazi na usalama barabarani iliyoandaliwa na Vodacom Tanzania kwa wanafunzi wa shule za msingi Oyster Bay, Msasani na Mbuyuni. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Usalama, Afya na Mazingira wa Vodacom Karen Lwakatare.
Meneja wa Mamlaka ya Usalama na Afya mahala pa kazi (OSHA) kanda ya Pwani Jerome Materu akizungumza wakati wa semina ya mafunzo ya usalama mahala pa kazi na usalama barabarani iliyoandaliwa na Vodacom Tanzania kwa wanafunzi wa shule za msingi Oyster Bay, Msasani na Mbuyuni. Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Naibu kamishna wa Polisi Mohamed Mpinga na Mkuu wa Idara ya Usalama, Afya na Mazingira wa Vodacom Karen Lwakatare(kushoto).
Mfanyakazi wa Kampuni ya Vodacom Tanzania Ammy Mlay akipima uelewa wanafunzi kuhusu amsula ya uslama na afya mahala pa kazi wakati wa semina ya mafunzo ya usalama mahala pa kazi na usalama barabarani iliyoandaliwa na kampuni ya Vodacom kwa wanafunzi wa shule za msingi Oyster Bay, Msasani na Mbuyuni mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Oyster Bay jijini Dra es salaam. Semina hiyo ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya usalama na afya mahala pa kazi duniani.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...