Wanamichezo wa Ofisi
ya Waziri Mkuu wanaoshiriki katika Mashindano ya Mei Mosi Mjini Morogoro,
wakipita mbele ya mgeni Rasmi, Mkuu wa mkoa wa
Morogoro Mh. Joel Bendera (hayupo pichani) wakati wa Ufunguzi wa
mashindano hayo jana. Washiriki wa Mashindano hayo ni Wizara, Idara na Taasisi
za Serikali zinazojitegemea.
Kikosi kabambe cha Mpira wa miguu cha Ofisi ya Waziri Mkuu
inayoshiriki katika Mashindano ya Mei mosi yanayoendelea mjini Morogoro.
Timu ya kamba
Wanawake ya Ofisi ya Waziri Mkuu wakivutana na Timu ya Alliance One ambapo Timu ya Ofisi ya Waziri Mkuu imeshinda katika mchezo huo.
Timu ya kamba
Wanaume ya Ofisi ya Waziri Mkuu wakivutana na Timu ya Alliance One ambapo Timu ya Ofisi ya Waziri Mkuu imeshinda katika mchezo huo. Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...