Home
Unlabelled
ankal atua jijini abuja, nigeria
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ankal nilikuona jana kwenye music award na viwalo vya mandela.
ReplyDeleteVery nice shirt Ankal
ReplyDeleteAnkal beware of Boko haram
ReplyDeletesame shirt he wore on Saturday?
ReplyDeletevipi hicho kipaa hapo hakivuji kama cha kwetu?mminhow glauke
ReplyDeleteMjomba Michuzi jihadhari na Wasii wa Naija !
ReplyDeleteUsije ukaingia Masjid kuswali ukaacha viatu vyako vya raba na begi la Laptop nje watakuliza !!!
Fanya kama Bongo nunu mfuko wa nailoni kabla ukiingia weka viatu uwe navyo mwenyewe.
Si unakumbuka Bozi Boziana/ Abubakari Mwanamuziki wa Congo-DRC alikwenda Naija akaibiwa viatu vyake alivyo viacha nje yeye akiwa anaswali Masjid?
Wanaigeria watakukaribisha kwao kama vile Karumanzila mtu wa Kigoma anavyolizwa jijini darisalama!!!
ReplyDeleteOhoo upo Nijeria?
ReplyDeleteNa mibegi mibegi yako utawajibika kuingia nayo hata ukienda chooni!!!
Jamaa wezi sana wakiwa kwao na nje ya kwao !
Ili kujikinga na Usanii na kuibiwa itabidi ukiingia kwenye Hoteli ama Mgahama ukipata chai utahitajika ukae juu ya mabegi yako!
ReplyDeleteama sivyo ukiliweka pembeni imekula kwako utakuta wameliiba!