Ankal akiwa na mpiga saxophone maarufu nchini Tanzania Akuliake Salehe a.k.a. "King Maluu" alipogongana nae akitumbuiza kwenye hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es salaam jioni ya leo akiwa na Furaha band chini ya Mohamed Amon (anaepiga gitaa). King Maluu, ambaye alitamba sana enzi za Maquis du Zaire, Orchestra Safari Sound na Wazee Sugu, hivi sasa ni lulu katika tasnia ya Bongo Flava ambapo amekuwa akiwapiga taffu vijana wa kizazi kipya na saxophone yake. Mfano ngoma ya "Number one" ya Diamond na pia ya Ommy Dimples ya "Tupogo".
Sikiliza King Maluu anavyochambua saxophone kama karanga.
Dah! Ankal namzimia sana mzee huyu asiyezeeka. Nangoja kwa hamu kusikia soundz zake. Pliiis weka fasta kabla sijaenda shift ya box plisssss!
ReplyDeleteAnkali hilo shati wapi hiyo... Abuja?
ReplyDeleteHivi huyu ndo alikuaga kyauri voice??
ReplyDeletehalafu ankal kaadimika sana siku hizi. unajua tukiona face yako humu tunafarijika mno. pamoja na wazifa ankal usitusahau bhana! Tumaiss ze fulanazzzzz, konozzzzzz, nondozzzzz na vitu kibao. wape lekcha vijana wako walete mambozzzz, japokuwa hivi sasa globu yetu imekuwa kubwa kiasi hata msindani wa karibu haonekani. nyuzzz za kila pembe ya nchi kila dakika. hongera and keep it up ze libenekezzzzzz....
ReplyDeleteDah! Ankali nimerudi tena na shukrani kwa kunihudumia kabla ya kwenda kula box. huyu King Maluu ni noma! Asante Ankal, acha niwahi shifti. huku kazini haturuhusiwi kugusa mtandao wakati wa kazi, yaani hata simu hupokei. Namiss Bongo wallahi
ReplyDeleteissah jamaa alishapigia band ya kyauri voice na vumbi nyuma?
ReplyDelete