Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard Membe akijibu Hoja za Wabunge wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya     Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 leo
Kiongozi swa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe akichangia hoja wakati  wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 leo .
Msemaji wa Kambi ya upinzani kwa Wizara ya Mambo ya Nnje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Ezekeli Wenje akitoa Hoja za kambi ya Upinzani kuhusu maoni ya kambi ya upinzani kuhusu Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje kwa kwa Mwaka 2014/2015.
Waziri wa Mambo ya Nnje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard Membe kulia akijadiliana jambo na Msemaji wa Kambi ya upinzani kwa Wizara ya Mambo ya Nnje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Ezekeli Wenje katikati kushoto ni Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushiurikiano wa Kimataifa Kimataifa Mhe.Bernard Membe katikati akiwa katika picha mbili tofauti na Wanachuo wa Chuo Cha Diplomasia Kurasini cha Jijini Dar es Salaam. Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii, Dodoma
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...