Mariam Osher Mmarekani mchoraji aliyetembelea mbuga za wanyama Tanzania na kubuni uchoraji wa wanyama aliowaona huko Tanzania na kutumia michoro hiyo kuitangaza Tanzania kwa Wamarekani na raia wengine ambao wajawahifika Tanzania kwenye maonesho ya picha zake yaliyofanyika leo Silver Spring, Maryland kwenye ukumbi wa WPG uliopo 8230 Georgia Ave.

Mhe. Liberata Mulamula , Balozi wa Tanzania nchini Marekani (wapili toka kulia) akiwa pamoja na Afisa wa Ubalozi kitengo cha Utalii Bi. Immaculata Diyamett wakifuatilia maelezo ya Marian Osher.

Balozi Liberata Mulamula pamoja na Afisa Immaculata Diyamett wakifuatilia maelezo ya Marian Osher
Juu na chini ni watu mbalimbali waliofika kwenye onesho hilo la Marian Osher.


Mhe. Balozi Liberata Mulamula akitoa shukurani zake kwa Marian Osher huku akiongea na watu waliofika kwenye onesho hilo kuwaelezea vivutio vilivyopo kwenye mbuga zetu za wanyama.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2014

    sasa Afisa Kitengo cha Utalii si ungetupia hata hereni au necklace ya kitanzania kama hukuweza kumuunga mkono Mh Balozi na kitenge?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...