Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk.Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha. Benki ya CRDB itafanyaka mkutano wake Mkuu wa Mwaka Mei 10 katika ukumbi wa AICC jijini Arusha. (Na Mpiga Picha Wetu)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk.Charles Kimei akionyesha kitabu cha taarifa ya mwaka 2013 cha benki ya CRDB katika mkutano wa waandishi wa habari jijini Arusha. Katikati ni Katibu wa Benki hiyo, John Rugambo na Mkurugenzi wa Fedha, Fredrick Nshekanabo. Benki ya CRDB itafanyaka mkutano wake Mkuu wa Mwaka Mei 10 katika ukumbi wa AICC jijini Arusha. 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk.Charles Kimei akiongea na Waandishi wa habari (Hawapo Pichani), kuhusu Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa benki ya CRDB utakaofanyika jijini Arusha. Katikati ni Naibu Mkurugenzi  wa Benki hiyo Bi.Esther Kitoka na Mkurugenzi wa tawi la Arusha Bi.Chiku Issa. Benki ya CRDB itafanya mkutano wake Mkuu wa Mwaka tarehe 10/05/2010 katika ukumbi wa AICC jijini Arusha.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk.Charles Kimei akiongea na Waandishi wa habari (Hawapo Pichani), kuhusu Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa benki ya CRDB utakaofanyika jijini Arusha. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi  wa Benki hiyo Bi. Esther Kitoka na Bw.John Rugambo ambaye ni Katibu wa Benki. Benki ya CRDB itafanya mkutano wake Mkuu wa Mwaka tarehe 10/05/2010 katika ukumbi wa AICC jijini Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...