Mkurugenzi  Mtendaji wa  Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (katikati) akizindua Kisima cha maji katika Shule ya Sekondari Kinambeu, wilaya ya Iramba Mkoani Singida, mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Yahya Nawanda na Kulia ni Mratibu wa mradi huo kutoka  taasisi isiyo ya kiserikali ya Nkwamira, Noreen Mazalla. 
 Mkurugenzi  Mtendaji wa  Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (katikati) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Yahya Nawanda na Kushoto na kulia ni Mratibu wa mradi huo kutoka  taasisi isiyo ya kiserikali ya Nkwamira, Noreen Mazalla. 
 Mkurugenzi  Mtendaji wa  Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto), akizindua kisima cha maji katika Shule ya Sekondari Kinambeu iliyopo katika Wilaya ya Iramba Mkoani Singida.
Mkurugenzi  Mtendaji wa  Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akimtwisha ndoo ya  maji mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Kinambeu, Joyce Zakaria, baada ya kuzindua kisima cha maji shuleni hapo. Hafla hiyo ilifanyika Mkoani Singida, mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...