From left is Political Officer Delegation of the European Union Tom Vens, Rear Admiral Commander Task Force 465 Jürgen zur Mühlen , and the Chargé d´Affaires a.i. Hans Koeppel of the German Embassy in press conference for the role of EUNAVFOR, its cooperation with Tanzania and the recently signed European Union-Tanzania Transfer Agreement which allows to trial pirates, who are captured by European naval forces, in Tanzanians courts.
The Chargé d´Affaires a.i. Hans Koeppel from Embassy of Federal Republic of Germany welcomed the visit of the flagship as “an important sign of the common fight against piracy along the coast of the Indian Ocean”. He also talk about the aim of Task Force to fight against pirates with the countries bordering the coast of Indian Ocean including Tanzania.
Political Officer Delegation of European Union Tom Vens discuss about Europe day and Europe day , He also talk about the European Task Force that help security situation in the Earth lastly he discuss about good relationship between European Union and East African Community and Good Political relationship Between European Union and Tanzania.
Commander Force Force 465 Rear Admiral Jürgen zur Mühlen emphasized that the threat of piracy continues to exist. 10 days ago, the crew of Brandenburg boarded an Indian dhow which was formerly held hostage by pirates. The pirates fled from the captured dhow as EU naval forces intervened from the air and sea. “This event confirms that the piracy threat is still very real in the Indian Ocean. The deterrence and swift action by EU Naval Force once again denied the freedom of action to pirates”,
Public Relation Officer of European Union Dormann addressing some issues during Press Conference.
Different media During the Press Conference at Umoja House today.
To Listen Click the Link down
I think this is a great mistake. European Union wanauwezo mkubwa wa kuwakamata, kuwashitaki na kusimamia kuwa haki inatendeka na hatimaye wale wenye hatia kuwaweka jela na wanauwezo wa kuawahudumia.
ReplyDeleteKwanini wanataka kutuhamishia matatizo yao ya kiuchumi na kero za hao pirates kuzileta kwetu?
Wanachokikwepa ni kuwa hawataki ugaidi wa wa hao maharamia utokee kwenye nchi zao kwani wasomalia wapo katika nchi hizo zote na inawezekana Al Shabab wakawashambulia wakidai wafungwa wao watolewe magerezani.
Sasa European Union wanataka Tanzania kuwa Dampo la taka wasizozitaka.
Tuwe makini na.makubaliano mengine. Hivi tukikataa kuwachuluwa hao wafungwa na maharamia tutapata hasara gani kubwa?
Na tukikubali kuwachukuwa hao maharamia na kuwaweka katika magereza yetu tutanufaika na nini?
Hatuoni kuwa tunakaribisha majanga?
Mdau anayeshangaa....
Waendeshe Kesi zao na wafungie hukohuko kwao!
ReplyDeleteTutawasaidia kuwakamata Wahalifu kama watapita kwetu.
Matatizo tuliyo nayo hayo hapo chini yanatutosha:
1.Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
2.Muungano wa Afrika ya Mashariki.
3.Ujangili na ujambazi kutokana na wahamiaji haramu.
4.Madawa ya Kulevya
5.Rushwa na Ufisadi.
Kama tutaingia mkenge kuendesha Kesi zao hapa TZ yatatukuta!
ReplyDeleteKwa kuwa Maharamia wa utekaji wa Meli ndio hao hao AL Shaabab tujiandae kulipuliwa na sisi kama Kenya!
Jamani Jamani huu ni ujanja wa wazungu, Usalama wa watanzania utakuwa matatani kwani mmeona kenya wanavtolipuliwa, Wanataka kibao kiwageukie watanzania, Jamani watanzania tulikatae hili wenyewe wanauwezo wa hayo. Ulaya hakuna shida kama shida tulizonazo Afrika hawa wanataka kutuongezea matatizo. Watuache.
ReplyDeleteDuuuh!!! Watanzania tusidanyike na kuona wazungu wako sahihi kila wacho sema Mimi naona hizo ni pumba wanazo tushauri watuache sisi na matatizo yetu wenyewe wanajua kwao hakuna maisha mazuri wameendelea lakini wanaishi kiutumwa vile . Mimi binafsi nachukia kuona wame wakusanya watanzania na mna wasikiliza Pumbavu....hao.
ReplyDeleteAma kweli.......haya ni fursa nyingine ya kutathmini uwezo wa kuona mbele kwa wanaotuwakilisha.......hili ni tego...busara zahitajika...vinginevyo.....itatugharimu ........
ReplyDeleteKwanini isiwe kuhukumiwa Somalia au Kenya au Msumbiji au hata Afrika ya kusini na badala yake iwe Tanzania? Bora wakahukumie Robin island na kufungwa huko lakini sio Tanzania.
ReplyDelete