Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akishirikiana na watendaji wa Wizara ya Ujenzi na TANROADS akishinda siku nzima na hata kukesha usiku mzima aliweza kushishiriki kikamilifu kama waziri mwenye dhamana kurejesha huduma za usafiri wa barabara zilizojifunga kutokana na kusombwa/kuharibiwa kwa madaraja muhimu yanayouunganisha mji wa Dar es Salaam na maeneo mengine hasa mikoa jirani. Maeneo yaliyoharibiwa ni daraja la Mpiji (Bagamoyo), Mzinga (Mbagala, Kongowe), daraja la Mto Mtokozi (barabara ya Kongowe – Mjimwema – Kigamboni) na Ruvu (Barabara ya Morogoro).
Home
Unlabelled
DK.MAGUFULI ALIVYOREJESHA HUDUMA ZA USAFIRI WA BARABARA ZILIZOJIFUNGA JIJINI DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Yaani ingawa sina chama lakini nimeguswa sana na uchapa kazi wa Mh.Waziri Magufuli. jamaa ingawa ni waziri lakini yupo usiku na mchana kuhakikisha dalaja linajengwa, safi sana. Sikumbuki uchapakazi wa kiongozi yoyote tokea enzi ya Sokoine. Mungu akulinde Magufuli, wewe ni zaidi ya Jembe kwa kuwajali watu wako.
ReplyDelete*Mmmbongo Chiberia*
Diaspora daima.
Nchi yetu ikipata viongozi wa juu 5 tu wenye moyo kama wa Mheshimiwa Magufuli shida inatuisha..
ReplyDelete