Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akiongozana na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini DCI Issaya Mngulu wakati alipokuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Mafunzo ya Haki za binadamu na Utawala bora yaliyokuwa yakiwashirikisha Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa, Wilaya na Waendesha Mashtaka wa Sertikali, Mjini Dodoma jana
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akizungumza na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini DCI Issaya Mngulu kabla ya kufungua Mafunzo ya Haki za binadamu na Utawala bora yaliyokuwa yakiwashirikisha Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa, Wilaya na Waendesha Mashtaka wa Serikali, Mjini Dodoma jana.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akizungumza na Mratibu wa Maboresho ya Jeshi la Polisi Lucas Kusima, kabla ya kufungua Mafunzo ya Haki za binadamu na Utawala bora yaliyokuwa yakiwashirikisha Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa, Wilaya na Waendesha Mashtaka wa Serikali, Mjini Dodoma jana. kushoton ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini DCI Issaya Mngulu.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu pamoja Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini DCI Issaya Mngulu na Mkurugenzi Msaidizi kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Bi. Neema Ringo, wakiimba wimbo wa Maadili wa Jeshi la Polisi wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya Haki za binadamu na Utawala bora yaliyokuwa yakiwashirikisha Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa, Wilaya na Waendesha Mashtaka wa Serikali, Mjini Dodoma jana.(Picha na Frank Geofray wa Jeshi la Polisi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 10, 2014

    DCI
    Tafadhali ondoa labels kwenye suti !

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 10, 2014

    Hivi tutasema hadi lini kuhusu hayo malebo? Ondoeni kwenye suti zenu mpya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 12, 2014

    LeboZZZZZZZ

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...