Mwanamuziki Mkongwe wa Reggae Tanzania. Jhikoman & Afrikabisa Band Live on Sauti Za Busara Festival 2014. Huyu ni Mmoja kati ya wanamuziki wakubwa wa Muziki wa Reggae hapa nyumbani Tanzania pamoja na Afrika Mashariki. Kwa sasa Jhikoman yupo katika Ziara yake ya Ulaya kufanya Maonyesho katika Nchi za mbali mbali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 02, 2014

    Yeah.....wana wa Zion......bab kubwaa...mmewakilisha safi sana....ila nashangaa kwanini mnakaa kimya sana hali ya kua tuna matatizo mengi nchini tulitegemea mngetusemea kupitia vipaji vyenu na kutufikishia ujumbe kwa walioziba masikio....yawezekana mnahofu kupotezwa.....bob hakuogopa....alikua akiwapa makavu....

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 02, 2014

    Respect to sisters and brethrens of Jhikoman & Afrikabisa band!

    Mdau
    Christos Papachristou
    Diaspora

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...