Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa ofisi za CCM kata ya Ighombwe ambapo aliwahimiza viongozi wa CCM kujenga ofisi zenye uwezo wa kutoa  msaada wa kijamii ikiwa pamoja na elimu za ujasiliamali .
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana (haoenekani pichani) akizungumza na Wananchi baada ya kushiriki ujenzi wa Zahanati,kata ya Sepuka wilayani Ikungi 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa Sepuka Wilayani Ikungi,jimbo la Singida Magharibi,na kuwataka kuungana katika kushiriki kuleta maendeleo hasa yale yanayohusu jamii kama kujenga shule, maabara na zahanati.
 Mkutano wa hadhara uliondaliwa na CCM,ukiendelea katika viwanja vya shule ya sekondari Sepuka,wilayani Ikungi,Singida Magharibi .
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  akishiriki kuvuna viazi vitamu pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Mgana Msindai kwenye shamba la mkulima Bernardo Razalo.
PICHA NA MICHUZIJR-IKUNGI SINGIDA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...