Marehemu Mama Victoria T. Kiama
(22/06/195
1-11/05/2013)
Ni mwaka mmoja tayari umepita tangu ulipotwaliwa mpendwa mama yetu Victoria. 

Ni Roho Mtakatifu pekee anayetufariji kila mara majonzi na huzuni vinapotuzidi lakini tunaamini kuwa umepumzika katika utukufu wake Mungu. 

Unakumbukwa sana na mumeo Thomas Kiama, wanao Evelyn, Grace, Mary, Agnes, Esther na Stella,wakwe zako Wilfred, Noel na Richard, wajukuu zako Clifford, Ian, William, Eleon, Mainda, Kandi, Agnes, Mboni na Lincoln. 

Upendo, ucheshi,tabasamu na mafundisho yako yatabaki mioyoni mwetu siku zote. 

Tunamshukuru sana Mungu kwa maisha aliyokupa hapa duniani.Mama tulikupenda sana lakini Mungu Mwenyezi alikupenda zaidi. Umepumzika kwa amani!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...