Wawakilishi wakibadilishana mawazo nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi kabla ya kuingia ndani ya ukumbi kuanza kwa kikao cha Baraza hilo Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Muwakilishi wa Jimbo la Nungwi Haji Mwadini Makame kushoto akibadishana mawazo na Muwakilishi waJimbo la Koani Mussa Ali Hassan nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk,Mwinyihaji Makame Mwadini akifahamisha jambo alipowasilisha Mpango wa Maendeleo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Mwaka 2014/2015 ndani ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Wakuu wa sekta mbalimbali pamoja na Wananchi mbalimbali wakisikiliza hotuba ya Mpango wa Maendeleo wa Serikali ya mapinduzi iliowasilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk,Mwinyihaji Makame ndani ya Baraza la Wawalikishi Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...