Francis Godwin ::Mzee wa matukio daima::
Uongozi  wa mtandao  wa www.francisgodwin.blogspot.com unapenda  kuwaomba  radhi  wadau  wake  kutokana na usumbufu mkubwa  uliojitokeza kwa kipindi cha  zaidi ya  wiki moja  sasa kwa mtandao huo kutokuwepo hewani ,ila tunapenda  kuwataarifa  kuwa  kuanzia leo mtandao huo wa francisgodwinblog upo hewani hivyo endelea  kupata habari na matukio mbali mbali kama  ilivyokuwa awali kwa  kutembelea hapa www.francisgodwin.blogspot.com na www.mwandishiwetu.blogspot.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...