Uongozi wa mtandao wa www.francisgodwin.blogspot.com unapenda kuwaomba radhi wadau wake kutokana na usumbufu mkubwa uliojitokeza kwa kipindi cha zaidi ya wiki moja sasa kwa mtandao huo kutokuwepo hewani ,ila tunapenda kuwataarifa kuwa kuanzia leo mtandao huo wa francisgodwinblog upo hewani hivyo endelea kupata habari na matukio mbali mbali kama ilivyokuwa awali kwa kutembelea hapa www.francisgodwin.blogspot.com na www.mwandishiwetu.blogspot.com
Home
Unlabelled
LIBENEKE LA MDAU FRANCIS GODWIN BLOG LAREJEA HEWANI BAADA YA KUPATWA NA KWIKWII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...