MWENYEKITI PAMOJA NA KAMATI YA MAANDALIZI YA CHAMA CHA  MAKATIBU MUHTASI TANZANIA  (TAPSEA) – TUNAPENDA KUWAJULISHA WANACHAMA NA WADAU WOTE KUWA  KUTOKANA NA SABABU AMBAZO ZIKO JUU YA UWEZO WETU TAREHE YA KONGAMANO IMEBADILIKA.  

KONGAMANO HILO SASA LITAFANYIKA TAREHE 10 – 12  JULY,  2014 KATIKA UFUKWE WA MALAIKA –  JIJINI MWANZA.

GHARAMA ZA USHIRIKI NI SHILINGI 300,000/=(LAKI TATU TU) KWA MWANACHAMA NA SHILINGI 350,000/= (LAKI TATU NA NUSU) KWA ASIYE MWANACHAMA.  LIPA KUPITIA AKAUNTI NAMBA. 0150031411800 CRDB BANK AZIKIWE NAMBA 2236600363 NMB BANK HOUSE NA UWASILISHE STAKABADHI ZA MALIPO KATIKA OFISI ZA TAPSEA. 

HAKIKISHA UNAPOLIPIA BANK ANDIKA JINA LAKO NA JINA LA TAASISI UNAYOTOKA KWENYE STAKABADHI.

OFISI YA TAPSEA HAITAPOKEA FEDHA TASLIMU.  TAREHE YA MWISHO KUPOKEA  WASHIRIKI NI 30 JUNI, 2014. KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NAMBA 2127464/0784/0655 783 110, 0754 919 379 NA 0718 477 743 AU EMAIL: info@tapsea.or.tz

TUNAWAOMBA RADHI KWA USUMBUFU WOWOTE ULIOJITOKEZA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...