Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 bado inaendelea. Mpaka sasa kiasi cha dolla 8,800 zimeshapatikana. Lengo ni kuchangisha dolla 20,000 ili kufanikisha shughuli za msiba huu uliotokea tarehe 28 April 2014.
 
Tunawaomba tuzidi kuchanga ili tuweze kufikia kiasi kinachohitajika na ili tuweze kufanikisha shughuli za kuurudisha mwili wa Marehemu Tanzania. Ukipata taarifa hizi tunaomba umfahamishe mwenzako. Tafadhali, toeni michango kupitia Account Number ifuatayo:
 
Wells Fargo Bank
Routing #: 031000503
Account# 6595913119
 
Jina la mwenye akaunti ni la Mtoto wa Marehemu: Mary Kagaruki
 
Marehemu kwa sasa yuko:
Funeral Home
366 West Lancaster Avenue
Wayne PA 19087
 
Kwa taarifa zaidi za msiba huu wasiliana na:
Erick Kagaruki – 937-361-4189
Mary Kagaruki – 267-963-8190
Abbas Byabusha – 914-584-7502
Doris Rweyemamu – 646-379-9135
  
Dr. Temba  (347-489-6532) na Raphael Faida (347-869-2230) nao watakuwa wakikusanya michango kutoka kwa Wanajumuiya.
 
Tunawaomba Watanzania wote wa Marekani watusaidie kwa kutoa michango ili tufanikishe shughuli za msiba huu.
 
Kwa niaba ya Familia ya Wafiwa na Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania,
 
Deogratius Mhella, Katibu New York Tanzanian Community.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...