Mbunge wa Sumbawanga Mjini , Aeshi Hilaly akimwomba radhi Mwanasiasa mkongwe Dr. Chrisant Mzindakaya (kushoto) wakati alipotakiwa kufanya hivyo na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Stella Manyanya (kushoto) katika ibada ya kumsimika Askofu wa Kanisa la Moravian Jimbo la Rukwa, Conrad Nguvumali kwanye uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga Mei 25, 2014.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Kafanya nini mpaka amwombe radhi? Wawe wawazi

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 27, 2014

    Wanadhoofisha chama.Old man step aside wacha damu mpya ifanye kazi. Matatizo yachambuliwe na executive ya chama siyo hadharani.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 27, 2014

    Great go....go.....Mhe. Aeshi. It doesn't cost you to apologize. True Muslim. Allah atakuwa pamoja nawe daima.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 27, 2014

    Kwani amefanya nini mpaka aombe radhi, habari haijakamilika.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...