Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi(MUWSA)Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza katika sherehe ya wajumbe wa bodi na wafanyakazi wa mamlaka hiyo. |
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Hajira Mmambe akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (Hawako pichani) |
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Elizabeth Minde akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Moshi mnastahili hongera na burudani murua kwa kuuweka mji wa Moshi Safi. Endeleeni kwa mwendo huo na miji mingine wajifunze kutoka kwenu kwani tukiamua tunaweza.
ReplyDelete