Kaka za masiku,  pole na kazi za kila siku. Kuna anko wetu amepotea. Jina lake ni Amir Hussein Binyaga. Yeye  ni mkaazi wa Kiluvya jijini Dar na amewahi kuishi Tanga  Majani Mapana. Ana umri wa miaka 56 na alipotea tangu tarehe 15/05/2014 saa 12 asubuhi. Hadi leo familia bado inamtafuta. Taarifa zipo kituo cha polisi Kibaha, Maili Moja. Tusaidie iweke kwnye blog yetu kuu. Taarifa zozote tutapokea kupitia namba 
0754322317 
0754273711,
0653768329,
0718260177

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...