Shebo ni msanii mpya wa RnB ambaye amekuwa akifanya poa katika mikoa ya kanda ya ziwa hasa Mwanza ambako ndiyo kwao. Amekuja na style ya pekee sana katika RnB ya Tanzania. Ni tishio kubwa kwa wasanii wakongwe kama Benpol na Steve RnB.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...