Jhikoman aliwasili Finland tarehe 24.4.2014 kuanza ziara ya kimuziki katika nchi za Ulaya
Nchini Finland amefanya maonyesho sita!
Kubwa ni lile alilolifanya Helsinki African Film Festival 16.5.2014
Pia alifanya onyesho la utangulizi kabla ya mkongwe Peetah Morgan wa Morgan Heritage kupanda
jukwaani 23.5.2014.
Tarehe 10.5.2014 alifanya onyesho kwenye uzinduzi wa Helsinki African Film Festival!
Jhikoman amefanyakazi studio na msanii mashuhuri wa Hip hop nchini Finland Paleface!
Kwa sasa Jhikoman yupo studio akiandaa nyimbo aliyo mshirikisha Peetah Morgan.
Tarehe 4 june 2014 Jhikoman anategemea kutumbuiza Kwenye ukumbi wa Nordic Black Theater mjini Oslo nchini
Norway. Jhikoman pia anatarajia kudhuru miji ya Brussels Ubeligiji, Paris Ufaransa, Tübingen Germany,
Stockholm Sweden na Copenhagen Denmark
Jhikoman and Peetah Morgan
Jhikoman akifanya majambo jijini Oslo
Akiwa studio na Paleface
Jhikoman akikamua ughaibuni
Jhikoman akiongoza mashambulizi Finland
Mwanamuziki Nyota wa Jamaika Peetah Morgan
alikuwa jukwaani na Jhikomanhikoman
Kweli Nabii huwa hathaminiwi myumbani kwake!HUyu ndio msanii anakuja Ughabuni na anafanya maonyesho live na bendi na sio wasanii wetu wa kuzuga wanofanya play back na c-d na kwenye ukumbi wa sebule za Wabongo.
ReplyDeleteNdoto ya Mchana Ughaibuni
Pig up my teacher
ReplyDelete