CHUO CHA UALIMU RENGEMBA MAFINGA IRINGA - USAJILI NA. TLF/011P- NAMBA YA KITUO CHA MITIHANI E.643.
1. MAFUNZO YA UALIMU STASHAHADA (SECONDARY) 'DIPLOMA IN SECONDARY' (DSEE) KWA MIAKA 2
Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha sita (v1) na ufaulu wa principal (1) subsidiary (1)
2. UALIMU DARAJA LA 111-A - NGAZI YA CHETI (CATCE) - KWA MIAKA 2.
Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha nne (1V) na ufaulu wa alama 26-27 (kwa mwaka 2004-2012) au alama 32-34 (kwa mwaka2013)
3. MAFUNZO YA UALIMU WA AWALI (ECDE)- KWA MWAKA 1.
sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha nne na ufaulu Daraja 1V ya alama 42
NB: wanafunzi wote watakaosomea mafunzo ya elimu ya awali; chuo kitawapa nafasi ya kurudia mitihani ya kidato cha nne ili waweze kwenda ngazi nyingine ya juu.
4. MAFUNZO YA QUALIFYING TEST (QT) MIAKA 2 YANATOLEWA CHUONI
5. CHUO PIA KINATOA MAFUNZO YA KKURUDIA MITIHANI( Kwa wale wote wanaohitaji)
MWISHO WA KUPOKEA MAOMBI NI TAREHE 30 JUNE 2014
MAOMBI YATUMWE KWA MKUU WA CHUO
SLP 71051 DAR ES SALAAM
KWA MAWASILIANO ZAIDI
0753- 038338 Iringa
0763 - 818244 Dar es salaam
0769 - 879068 Dar es salaam
ASANTENI.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...