Je wewe ni mpenzi wa oldies/old scul na unazitambua vizuri? Kama jibu ni YES basi ungana na The legends DJ JD na DJ Fast Eddie kila ijumaa na jumamosi ndani ya isumba lounge kuanzia saa 3 usiku; kiingilio 10000/- tu .Zawadi zitatolewa kwa atakaetambua jina na muimbaji wa song of the night. ungana na DJ JD kupitia facebook.johndilinga.com pls like page

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...