Je wewe ni mpenzi wa oldies/old scul na unazitambua vizuri? Kama jibu ni YES basi ungana na The legends DJ JD na DJ Fast Eddie kila ijumaa na jumamosi ndani ya isumba lounge kuanzia saa 3 usiku; kiingilio 10000/- tu .Zawadi zitatolewa kwa atakaetambua jina na muimbaji wa song of the night. ungana na DJ JD kupitia facebook.johndilinga.com pls like page
Home
Unlabelled
oldies & old scul kila ijumaa na jumamosi ndani ya isumba lounge
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...