Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa Katiba na Sheria Dkt.Asha Rose Migiro,Jaji Mkuu Mohamed Othman Chande,pamoja na Rais wa Chama Cha Kimataifa cha Majaji Wanawake wakiimbaq wimbo wa taifa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 12 wa chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha AICC.Mkutano huo ulifunguliwa na Rais Kikwete.
Baadhi ya majaji wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 12 wa Chama Cha Kimataifa cha Majaji wanawake unaofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano mjini Arusha(picha na Freddy Maro).
Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Majaji Wanawake Duniani, walitoka nchini,Mara baada ya kupungua mkutano huo rasmi.
Mkutano huo umeshirikisha takribani  wajumbe 600 kutoka nchi mbalimbali duniani. (Wa tatu kutoka kushoto ni Mhe. Mohamed Chnade Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania, wa pili kutoka kushoto ni, Mhe. Asha-Rose Migiro, Waziri wa Katiba na Sheria, wa kwanza kushoto ni Jaji Mkuu wa Nigeria, Mhe. Aloma Mariam Mukhtar, wa pili kutoka kulia Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani (T), ambaye pia ni Rais wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani, Mhe. Eusebia Munuo, wa kwanza kulia ni Mhe. Jaji Engera Kileo, Mwenyekiti wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania. (TAWJA).

Meza Kuu ikiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Mkutano huo kutoka Latin America.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...