Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 18, 2014

    Poleni wafiwa ndugu na jamaa. Ila naomba niulize: Private ni jina au cheo? Naomba kufahamishwa sifa za marehemu. RIP

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 18, 2014

    private ni cheo cha jeshi

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 19, 2014

    Naona kama sherehe na uzungu kwa sana. Mama wa marehemu ameshndwa hata kujitanda ushungi badala yake amepoteza muda kwenye kujipamba.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 19, 2014

    Pole sana Salva kwa kuondokewa na kijana wako mpendwa, Mwenyezi kampenda zaidi. Yamepita na maisha inabidi yaendelee.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 19, 2014

    Anonymous said..... Pole kwa mawazo ya kizamani. Hapa kwenu manelumango, mfiwa haogi wala kupaka mafuta. Endelea kudumisha mila za kizamani. BRK

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 19, 2014

    Kutokuoga au kuwa mchafu kunasaidia nini..... Utanaki na zama zako za kale. @said

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 19, 2014

    kwani private ni cheo kikubwa sana?naona shughuli za mazishi pevu sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...