Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Swissport Tanzania Bw Gaudence Kilasara Temu akizungumza na wanahisa wa kampuni hiyo wakati wa mkutano wao Mkuu wa Mwaka uliyofanyika jijini Dar es Salaam Jumatano jioni.
 Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa kampuni ya Swissport Tanzania Jeroen de Clercqakizungumza na wanahisa wa kampuni hiyo wakati wa mkutano wao Mkuu wa Mwaka uliyofanyika jijini Dar es Salaam Jumatano jioni. Wapili kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya hiyo Bw Gaudence Kilasara Temu akifuatiwa na mmoja wa wakurugenzi wa bodi Bw. George Fumbuka. 
 Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Swissport Tanzania Bw. Gaudence Kilasara Temu akizungumza na waandishi wa habari nje ya mkutano mkuu wa mwaka wa kampuni yake uliyofanyika Jumatano jioni jijini Dar es Salaam. 
 Afisa Fedha Mkuu wa kampuni ya Swissport Tanzania Mrisho Yassin akiwaongoza wanahisa kupitia ripoti ya mahesabu ya fedha ya mwaka 2013, wakati wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa kampuni hiyo uliyofanyika jijini Dar es Salaam Jumatano jioni. Wapili kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya hiyo Bw Gaudence Kilasara Temu akifuatiwa na mmoja wa wakurugenzi wa bodi Bw. George Fumbuka na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bw. Jeroen de Clercq.   
Mmoja wa wanahisa wa kampuni ya Swissport Tanzania akichangia mada wakati wa mkutano mkuu wa mwaka wa wanahisa wa kampuni hiyo uliyofanyika jijini Dar es Salaam Jumatano jioni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...