Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan Kaganda leo tarehe 19/05/2014 amekutana na waandishi wa habari na kuongelea mambo mbalimbali hasa matukio ya kukamatwa kwa risasi 307 za SMG, tatu za shortgun na bunduki aina hiyohiyo, tano za Rifle na bunduki yake. Pichani ni Kamanda Kaganda akionyesha sehemu ya risasi hizo pamoja na sare za Jeshi zilizokamatwa mkoani humo.Picha/Habari na FAKIH ABDUL - Mwandishi wa habari wa jeshi la Polisi mkoa wa Tabora.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan Kaganda akiongea na Waandishi wa habari.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan Kaganda akiwaeleza waandishi wa habari kuhusiana na tukio hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...