Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda  leo ameongea na waandishi wa habari na kutoa taarifa ya mafanikio yaliyopatikana katika misako ya wahalifu na uhalifu, ambapo kumekematwa bastola, gobore , banghi gunia sita mitambo ya kutengenezea pombe ya moshi. 
Afande ACP Suzan S. Kaganda KAMANDA WA POLISI
MKOA WA TABORA akionesha gobore iliyotengenezwa kienyeji ikiwa imekatwa kitako na risasi 2 za shotgun na 3 za SMG/SAR
Pistol Glock17 namba TZ Car 91968  ikiwa na magazine yenye risasi tano
Kamanda akionesha risasi zilizokamatwa
Kamanda akionesha magunia 6 za bhangi na kete 402. 
Kamanda akiomnesha Pistol aina ya Glock17 namba TZ Car 91968 
Kamnada akionesha gari namba T 636 DUW Toyota Harrier rangi ya Metalic Silver,Chassis No.100078234,Engine No.1MZX 0986347 ambalo alishindwa kulitolea maelezo. Na D/C Fakih Abdul mwandishi wa habari wa jeshi la polisi mkoa wa Tabora

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 27, 2014

    Bangi si za kukamata jamani ....ni dawa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...