Chifu wa  kinadi  ambayo ipo katika wilaya ya Itilima  mkoani Simuyu  Wenceslaus Clement  akiwa anabadilishana mawazo na malagwanani wa kimasai katika siku ya kwanza ya tamasha la "Mtu kwao" laanza katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abein jijini Arusha leo
Mkufunzi wa kabila la Wabarabaigi akiwaonyesha malegwanani wa Kimasai mishale ya sumu ambapo alisema kuwa mishale hiyo ina sumu kali ambayo imetengenezwa kutoka dawa za miti aina saba tofauti, na kwamba  ikikupiga tu hauwezi kukimbia hata hatua ishirini kabla hujaanguka na dawa yake haipatikani hospitalini zaidi ya wao wenyewe wanaotengeneza mishale hiyo kukupa dawa
 Maandamano ya washiriki wa tamasha hilo
 Mwanadada wa libeneke la kaskazini Woinde Shizza akiwa amejumuika na waimbaji wa ngoma ya kichaga wakiwa wanacheza pamoja hii yote ni kuuenzi utamaduni wetu. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...