Chifu wa kinadi ambayo ipo katika wilaya ya Itilima mkoani Simuyu Wenceslaus Clement akiwa anabadilishana mawazo na malagwanani wa kimasai katika siku ya kwanza ya tamasha la "Mtu kwao" laanza katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abein jijini Arusha leo
Maandamano ya washiriki wa tamasha hilo
Mwanadada wa libeneke la kaskazini Woinde Shizza akiwa amejumuika na waimbaji wa ngoma ya kichaga wakiwa wanacheza pamoja hii yote ni kuuenzi utamaduni wetu. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...