Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 25, 2014

    Waghana ndio mazishi yao. Halafu wanazika kwenye majeneza ya gharama sana unaweza kuta jeneza li metengenezwa kwa dhahabu tupu (lote). Halafu majeneza yao wanadizaini mbali kama magari, unakutwa mtu amezikwa kwenye Hummer.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 25, 2014

    Mazishi yanazidi kuwa complicated. Hata Bongo walianza na sare za kanga, T- shirt zenye picha ya marehemu sasa mambo yameluwa makubwa zaidi na michango na mikutano ya maandalizi. Kusini mwa Afrika wafiwa wanatunza maiti kwa miezi kadhaa wakijiandaa na kujipanga kwa mazishi.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 25, 2014

    Marehemu akiwa Bonge kama mie sijui kama kuna atakaye nyanyua mguu kwa madoido ni straight kaburini...lol!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 25, 2014

    Jamani hiyo ndo harusi ya mwisho ya marehemu sio julia tu mwanzo mwisho,km yawezekana watu wayarudi mangoma kama wajaluo.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 25, 2014

    Africans badala ya kwenda mbele mnarudi nyuma. kwapoleni

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 25, 2014

    Hivi usemi ni ukistaajabia ya Musa utaona ya firauni au ukistaajabia ya Musa hujaona ya firauni?
    Maanake hapo kuna maana mbili tofauti kwamba ukishangaa gari basi utaona ndege au ukishangaa gari basi hujaona ndege

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 26, 2014

    Msondo Ngoma OTTU JAZZ BAND waliimba:

    Makamera na Video Misibani ya nini?

    Ni bora gharama kubwa ingetumika kwenye matibabu kama aliugua ama kuwekeza nyuma kwenye Jamii kwa waliobaki wanaoendelea na maisha ama kuwekeza Mbele za Haki kama atakufa kifo cha kawaida (Natural Death)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...