Mhe. Stephen Wasira amezindua tovuti itasaidia umma kupata taarifa zinazohusu shughuli za maendeleo na changamoto katika jimbo la Bunda na nyinginezo. 
Taarifa hizi zinapatikana kwa lugha za Kiswahili na Kiingereza. Unaweza kuzipata kulingana na kifaa (device) ukitumiacho kama desktop/laptop computer (PC), tablet na simu za mkononi. Mbunge wa Serengeti Mhe. Dr. Kebwe alikuwepo pia. 
Muonekano wa tovuti ya Mhe Stephen Wasira wakati wa uzinduzi wake leo
Mhe. Wasira akiangalia tovuti yake baada ya kuizindua leo
Mhe Wasira akiwa na Dkt. Kebwe Stephen KEBWE Mbunge wa Serengeti na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii wakati wa hafla hiyo fupi
Wadau mbalimbali waliohudhuria uzinduzi wa tovuti hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 05, 2014

    Hii ndiyo tunaita viongozi wa dotcom wenye ujui wa kutumia teknolojia ya kisasa, inaonekana watu wa Bunda wako juu kidigitali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...