Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta  akisoma Bungeni hotuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa mwaka 2014/2015. Bajeti hiyo ilijadiliwa na kupitishwa na Bunge. Bajeti hiyo pia ilisikilizwa na Wabunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki waliokuwepo Bungeni siku hiyo. 
Mbunge Shy-Rose Bhanji (kushoto) akiwa na wabunge wa Bunge la Muungano Mhe James Mbatia na Mhe Beatrice Shelukindo.
Wabunge wakiwa viwanja vya Bunge...
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Angellah Kairuki akiteta jambo na Mhe Shy-Rose Bhanji
Picha ya pamoja na baadhi ya Wabunge na mawaziri wa Bunge la Muungano. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...