| Baadhi ya Wananchi wa Blantyre na sehemu nyingine za Malawi wakiwa uwanjani hapo wakati wa mapokezi ya Mwili wa aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Marehemu Flossie Gomile-Chidyaonga. |
| Mhe. rais Banda akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule. Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA |


Bonge la bao tumempiga bibie isis tungali na ndege ya Raisi kama kawauda na maandishi makubwaaa TANZANIA!
ReplyDeleteRaisi Joyce Banda akauza ndege ya Uraisi baada ya kuingia Ikulu mwaka 2012 akisaka Mtaji wa Kisiasa.
Hivi jamani, baadhi ya vitu ni vya ajabu.
Kuna tatizo gani Raisi wa nchi akitumia ndege Kikazi?