Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera akifafanua jambo wakati alipofungua Mkutano wa Saba wa Baraza la Wafanyakazi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima uliofanyika katika Ukumbi wa WAMO Mjini Morogoro, (wa pili Kulia) ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Bw. Fedelis Mafumiko na (wa kwanza kulia) ni Naibu Mkurugenzi Taaluma, Bw. Welberforce Meena (Kushoto) ni Naibu Mkurugenzi Fedha na Utawala Bw.Edward Lugakingira.
Baadhi ya Watumishi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera (hayupo pichani) akifafanua jambo wakati alipofungua Mkutano wa Saba wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika katika Ukumbi wa WAMO Mjini Morogoro.
Mwenyekiti wa Baraza la Baraza la Wafanyakazi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima , Bw.Edward Lugakingira akifafanua umuhimu wa Baraza hilo, (kulia) ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera (wa pili kulia ni ) Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Bw.Fedelis Mafumiko na (wa kwanza kulia) ni Naibu Mkurugenzi Taaluma Bw. Welberforce Meena, wakati wa Mkutano wa Saba wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika katika Ukumbi wa WAMO Mjini Morogoro.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera (waliokaa watatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima mara baada ya kufungua mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa WAMO Mjini Morogoro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...