Mchezaji wa timu ya Ifiti, Kavin Mwandisi (kulia) akichuana na mchezaji wa timu ya Matema (FC), Hasani Njaa wakati wa fainali za Castle Lager Perfect Six Kanda ya Kinondoni zililofanika katika Ufukwe wa Coco Beach Dae es Salaam. Ifinit ilishinda mabao 5-4.
Mchezaji wa timu ya Tegeta City, Amiry Ally (kushoto) akichuana na mchezaji wa timu ya Group six, Semi James wakati wa fainali za Castle Lager Perfect Six Kanda ya Kinondoni zililofanika katika Ufukwe wa Coco Beach Dae es Salaam. Tegeta ilishinda mabao 4-2.
Mchezaji wa Timu ya Hot Shot, Kali Ongara (kushoto) akichuana na mchezaji wa timu ya Ifinit, Kavin Mwandisi, wakati wa fainali za Castle Lager Perfect Six Kanda ya Kinondoni zililofanyika katika Ufukwe wa Coco Beach Dar es Salaam Ifinit ilishinda mabao 8-4. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...