Mpiga kinanda na stage manager wa Malaika Band akiwa kazini usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi mjini Tabora wakati bendi hiyo inayokuja juu kwa kasi chini ya uongozi wa mtunzi na mwimbaji mahiri na mtunzi bora wa mwaka wa Kili Music Awards Christian Bella ilipotumbuiza mamia ya wapenzi wao katika ukumbi huo mkongwe
Safu ya ushambuliaji ya Malaika band wakiwa jukwaani
Mandhari ya ukumbi
Wanenguaji wa Malaika band wakiwajibika
Kiongozi, mtunzi na mwimbaji mahiri ambaye ni mtunzi bora wa mwaka wa Kili Music Awards Christian Bella akikonga nyoyo za mamia ya wapenzi wao katika ukumbi huo mkongwe.
Picha na Sultani Kipindo wa Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...