Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikabidhiwa Usinga na wazee wa kijiji cha kisesa wilayani Magu baada ya kusimikwa kuwa kiongozi wa kabila la wasukuma na, wakati wa Sherehe za kijadi na maadhimisho ya siku ya ngoma na nyimbo za kabila la kisukuma zilizofanyika Wilayani magu mkoani Mwanza jana.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipiga  Ngoma  kuashiria uzinduzi wa Mashindano ya Ngoma na Nyimbo katika Maadhimisho ya Tamasha la Jadi la Wasukuma  kwenye Uwanja wa Kisesa Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza jana.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsalimia Mtoto  fredrik  Emmanuel  Mara Baada ya Kumalizika kwa Sherehe za Uzinduzi wa tamasha la Ngoma na Nyimbo za Kabila la wasukuma zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kisesa Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza jana
 Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha kisesa mkoani mwanza, Wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.  Mohammed Gharib Bilal,  alipokua akiwahutubia  kwenye Uzinduzi wa Mashindano ya Ngoma na Nyimbo za kabila la kisukuma zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kisesa Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza jana.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia Ngoma ya Kabila la Wasukuma wakati wa Tamasha la siku ya Bulabo  zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kisesa Wilayani Magu Mkoa wa Mwanza jana. 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akiagana na wananchi  wa kijiji cha kisesa baada ya kuzindua  Mashindano ya Ngoma na Nyimbo za kabila la Wasukuma zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kisesa Wilayani  Magu Mkoni Mwanza jana .(Picha na OMR)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...