Ankal akiwa na mchambuzi maarufu nchini wa mambo ya soka Dr Liky Abdallah wakati wakiandaa kipindi maalumu ya Kombe la Dunia 2014 ambacho kitarushwa Michuzi TV hivi karibuni. Hivyo mdau kaa chonjo usikilize uchambuzi wa uhakika toka kwa mtaalamu huyu. Vile vile kaa mkao wa kula kuona namna utavyoipata MICHUZI TV kirahisi na kufaidi vionjo hivyo na vingine kibao kila siku. STAY TUNED!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 02, 2014

    Allah Akbar, kweli umri unakwenda Uncle nakumbuka enzi za DTV wewe na Dr.Liki mlivyokua na sasa hvi mlivyo. Alhamdulilah.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 03, 2014

    Hi Five Ankal, ubunifu safi sana cant wait to enjoy soon. Liky ni Dr wa soka na historia ya mambo mengi duniani hakika huwa habahatishi karibu sana kwa mikono miwili the one and only Dr Liky Abdalah.

    Wajina Ughaibuni/ Mtwara

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 03, 2014

    Hii TV inapatikana kwa kingamuzi gani? Je nayo iko juu kwa matukio kama blog hii ya jamii?

    Observer

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...