Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akitazama sehemu maalum ya kunyweshea maji mifugo,ambayo yeye mwenyewe aliiizindua
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akimtwisha ndoo ya maji mama wa jamii ya kimasai,mara baada ya kuzindua mradi wa maji safi na salama wenye thamani ya shilingi milioni 200 na zaidi, katika kijiji cha Ilela kata ya Esekii wilayani Kiteto mkoani Manyara.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwasalimia wananchi mara baada ya kupokelewa katika kijiji cha Irkiushbor,wilaya ya Kiteto mkoani Manyara.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akipata maelezo ya mradi wa maji katika  kijiji cha Ilela kata ya Esekii wilayani Kiteto mkoani Manyara,Mradi huo una thamani ya zaidi ya shilingi milioni 200 na zaidi.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia waanchi wa kijiji cha Nalangton,Wilayani Kiteto mkoani Manyara.

Sehemu ya Umati wa wananchi wakimsikiliza katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa mpira mjini Kibaya,wilayani Kiteto mkoani Manyara
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akiwahutubia wananchi wa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa mpira mjini Kibaya,wilayani Kiteto mkoani Manyara
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa mpira mjini Kibaya,wilayani Kiteto mkoani Manyara.
PICHA NA MICHUZIJR-KITETO MANYARA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...