Ni Miaka mitatu sasa imekatika toka ulipoitwa na Mwenyezi Mungu kwenye Makazi ya Milele,Mama yetu Mpendwa Clara Abraham Mandara.

Unakumbukwa sana na Watoto wako na Wajukuu wako wote.Tunakuombea kwa Baba Muumba akusamehe Makosa yako yote na aiweke roho yako mahala pema Peponi.

-Amin.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...