KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MAMA YETU MPENDWA MRS K. MNUBI

sasa ni miaka miwili tangu mama yetu kipenzi ulioitikia sauti ya Mungu hapo tarehe 07.06.2012. Sisi kama familia tunatoa shukrani za pekee kwa Mungu kwa jinsi alivyoweza kutulinda na kutupa Faraja ya pekee katika kipindi chote cha majonzi na hadi sasa tunatimiza miaka miwili bila kuwa nawe. Tunakukumbuka sana mama japo kimwili haupo nasi, pengo lako daima haliwezi kuzibika.

Tunakukumbuka kwa upendo wako, ushauri wako kama mama na mke. Kipekee unakumbukwa sana na mume wako mpendwa Kedmond, watoto wako Catherine, Restituta, mama ako mpendwa na ndugu jamaa na marafiki.

Dua ya kumuombea marehemu itafanyika nyumbani kwake Msamala, Songea tarehe 07.06.2014

INNALILAHI WAINA ILLAIHI RAJIUUN.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...