Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akizungumza na madiwani wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji kwenye makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam jana. Kulia kwa Mkurugenzi Mkuu, ni Meya wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji, Bakari Beji.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akizungumza na madiwani wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji kwenye makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam jana. Kulia kwa Mkurugenzi Mkuu, ni Meya wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji, Bakari Beji na Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa PSPF, Gabriel Silayo.
 Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu (Kulia), akitoa maelezo kwa madiwani wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji, wakiongozwa na Meya wa Manispaa hiyo, Bakari Beji, (Wanne Kulia), walipotembelea makao makuui ya PSPF jijini Dar es Salaam jana. Wasita kulia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa PSPF, Gabriel Silayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...